Viongozi CHADEMA taifa wanatusaliti wananchama

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,337
5,574
Ndungu wanajamvi,

Ukweli ni kuwa viongozi wetu wa kitaifa wa CHADEMA wametusaliti wanachama kwa kutuambia mambo mengi harafu wanatekeleza kinyume chake. Kwa mfano, suala la idadi wa wabunge wa Afrika Mashariki tulikubaliana kuwa tutaendelea kupeleka walewale wawili na viongozi wakatoa matusi kwa Mh Rais, Speaker an CCM kwa kushindwa kuwapitisha. Wananchana na sisi tukatukana serikali, bunge na CCM kupitia mitandao na tukaahidi kuwa hatutabadilika.

Sasa leo viongozi wanaamua kupeleka wangome 6 bungeni kinyume na tulivyokuwa tumekubaliana. Kumbuka hawa viongozi walikuja na ukuta mara kata funua mara dikteta lakini pote hakuna kilichotekelezwa, hii inahuzunisha sana. Viongozi kusema kimoja nakutekeleza kitu kingine, hii ni usaliti mkubwa.
 
Ccm msipoitaja Chadema hamna amani kabisa.... Mme mwema ni Chadema anawanyima usingizi.... Badala ya mpange mipango jinsi ya mtakavyoshinda uchaguzi ujao ninyi ni Chadema tuu.... Maana jamaa yenu anakiharibu chama kila uchao.....
 
HIVI UNAJUA MIMI NI NANI NDANI YA CHAMA CHANGU CHADEM?ACHA UJUHA

Ccm msipoitaja Chadema hamna amani kabisa.... Mme mwema ni Chadema anawanyima usingizi.... Badala ya mpange mipango jinsi ya mtakavyoshinda uchaguzi ujao ninyi ni Chadema tuu.... Maana jamaa yenu anakiharibu chama kila uchao.....
 
Ndungu wanajamvi,

Ukweli ni kuwa viongozi wetu wa kitaifa wa CHADEMA wametusaliti wanachama kwa kutuambia mambo mengi harafu wanatekeleza kinyume chake. Kwa mfano, suala la idadi wa wabunge wa Afrika Mashariki tulikubaliana kuwa tutaendelea kupeleka walewale wawili na viongozi wakatoa matusi kwa Mh Rais, Speaker an CCM kwa kushindwa kuwapitisha. Wananchana na sisi tukatukana serikali, bunge na CCM kupitia mitandao na tukaahidi kuwa hatutabadilika.

Sasa leo viongozi wanaamua kupeleka wangome 6 bungeni kinyume na tulivyokuwa tumekubaliana. Kumbuka hawa viongozi walikuja na ukuta mara kata funua mara dikteta lakini pote hakuna kilichotekelezwa, hii inahuzunisha sana. Viongozi kusema kimoja nakutekeleza kitu kingine, hii ni usaliti mkubwa.

Kikao hicho cha kukubaliana mlikaa lumumba na mazezeta wenzako?
 
Ndungu wanajamvi,

Ukweli ni kuwa viongozi wetu wa kitaifa wa CHADEMA wametusaliti wanachama kwa kutuambia mambo mengi harafu wanatekeleza kinyume chake. Kwa mfano, suala la idadi wa wabunge wa Afrika Mashariki tulikubaliana kuwa tutaendelea kupeleka walewale wawili na viongozi wakatoa matusi kwa Mh Rais, Speaker an CCM kwa kushindwa kuwapitisha. Wananchana na sisi tukatukana serikali, bunge na CCM kupitia mitandao na tukaahidi kuwa hatutabadilika.

Sasa leo viongozi wanaamua kupeleka wangome 6 bungeni kinyume na tulivyokuwa tumekubaliana. Kumbuka hawa viongozi walikuja na ukuta mara kata funua mara dikteta lakini pote hakuna kilichotekelezwa, hii inahuzunisha sana. Viongozi kusema kimoja nakutekeleza kitu kingine, hii ni usaliti mkubwa.
ya CCM yamekushinda ? Kazungumze na wenzako kuhusu ukurupukaji wenu na ubaguzi wenu.achana na CDM !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom