Viongozi CHADEMA Ikungi wajiuzuru Lisa u dikteta wa Tundu Lissu.

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Habari zilizotufikia toka Ikungi ni Kuwa u uongozi wa chadema Ikungi umejiuzuru sababu kuu ikitajwa ni kuminywa demokrasia na u dikteta wa Tundu na genge lake.
Wakati huo huo mwenyekiti na aliyekuwa mgombea u bunge Kwimba kufuatia kuminywa democrasia uchaguzi lake zone.

Hali hii ni Mbaya kwa kwa kyadema.
 
Mkuu, uliandika ukiwa kwenye mwendo Kasi, mbona umekanya kanyaga hivi?
 
Habari zilizotufikia toka Ikungi ni Kuwa u uongozi wa chadema Ikungi umejiuzuru sababu kuu ikitajwa ni kuminywa demokrasia na u dikteta wa Tundu na genge lake.
Wakati huo huo mwenyekiti na aliyekuwa mgombea u bunge Kwimba kufuatia kuminywa democrasia uchaguzi lake zone.

Hali hii ni Mbaya kwa kwa kyadema.
Naona yamekubana, Wahi Chooni usije ukajichafua.
 
Back
Top Bottom