Vioja daladala za Iringa

HP1

JF-Expert Member
Feb 4, 2012
3,362
874
Katika mkoa wa Iringa watu wa daladala wana vioja sana. Sio ajabu dereva kushuka kwenda kusalimia rafiki zake. Daladala inasimama kituoni mpaka daladala nyingine iwe inakuja. Konda anamwambia dereva wakashushe abiria ili wawahi pombe. Wanawajua abiria wao, utasikia chukua yule mzee anashuka semtema. Kila abiria anataka ashushwe anapotaka hata kama ni karibu karibu. Utawasikia shusha hapo kwenye mchongoma, au shusha hapo sheli (kilabu cha ulanzi). Yani kuna vioja vingi. Mliowahi kufika Iringa mnaweza kuongezea.
 
Kwenye daladala za mkoa wa Iringa kuna vioja sana. Dereva anaweza kushuka kwenda kusalimia rafiki. Konda anamwambia dereva wawahi kushusha abiria wakanywe pombe. Daladala inasimamishwa mpaka itokee nyingine. Kila abiria anataka ashuke kituo chake. Utasikia "shusha sheli" (kilabu cha ulanzi), shusha kwenye mchongoma. Konda anasema "chukua huyo jamaa anashukiaga semtema". "chenji ujage kuchukua kesho be". Kuna vioja lukuki. Aliyewahi kufika Iringa anaweza kuongezea.
 
Ulichosema ndiyo hali halisi sisi na wanyaru tunavyoishi!
 
[




Hii post hapa si pahala pake bana. mbona Jamii Forum imeingiliwa na vijitu vyenye akili finyu vinatoka wapi ?



QUOTE=HP1;4112462]Kwenye daladala za mkoa wa Iringa kuna vioja sana. Dereva anaweza kushuka kwenda kusalimia rafiki. Konda anamwambia dereva wawahi kushusha abiria wakanywe pombe. Daladala inasimamishwa mpaka itokee nyingine. Kila abiria anataka ashuke kituo chake. Utasikia "shusha sheli" (kilabu cha ulanzi), shusha kwenye mchongoma. Konda anasema "chukua huyo jamaa anashukiaga semtema". "chenji ujage kuchukua kesho be". Kuna vioja lukuki. Aliyewahi kufika Iringa anaweza kuongezea.[/QUOTE]
 
[/QUOTE]

umekuwa moderator siku hizi?
 
Hahahahaaaa!!! Fikiria kama hiyo ingekuwa ni Dar sijui ingekuwaje
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…