NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Nimeshitushwa sana na tetesi za binti Gonzalez kuhamia Yanga na imenipa maswali fikirishi ambayo yamenifanya NALIA NGWENA nije kushea na wajuzi jamvini.
1/ je vile vijembe Babra Gonzalez kule Twitter alikua akimsakama boss Mo dewji??
11/ je nini kimetokea kikubwa mpaka wapendwa hao kuvurugana??
Nawasilisha hoja.
1/ je vile vijembe Babra Gonzalez kule Twitter alikua akimsakama boss Mo dewji??
11/ je nini kimetokea kikubwa mpaka wapendwa hao kuvurugana??
- Pesa au nini?
- Je, ni wivu wa mapenzi?
Nawasilisha hoja.