juzi kati Emmanueli Mbasha alikuwa anahojiwa na vido wa amplifaya CLOUDZ akiwa. chunya,anasema anawasihi vijana wawekeze machimboni/migodini ndiko maisha yalipo.NILITAFAKARI SANA,MTU MAARUFU KAMA YULE KUSEPA DAR KUJA KUCHUMA PORI,NILITAFAKARI SANA,NA NI KWELI,mjini tunagombaniana fursa matokeo yake tunazipata wengi kwa gawio kiduchu,mtu unalipwa laki 2,laki 3 hata akiba tuu haibaki!