Vijana tusishikiwe akili

Aisha Iddi

Hakika wewe ni lofa na mpumbavu! Tunataka tupate mtu atakayebadili mfumo uliopo na tupate katiba yenye kuwawajibisha viongozi ndio utaona kua ahadi zote zinatekelezeka! Kwa katiba mbovu iliyopo na hata inayopendekezwa hakuna sehemu ya kuwawajibisha watoa ahadi hewa.Kwa ufinyu wako wa mawazo unashindwa hata kufikiria kua kinachotusumbua ni mfumo mbovu uliopo.
 
Last edited by a moderator:
Uloi nga mâché68;14060267 said:
Mabadilikho yanaletwaje na walioshindwa Uchaguzi CCM? Tumieni japo moja ya mia ya akili zenu!
Hakuna anayeweza kufikiri kama wewe! Wengi akili zao zimeshikiliwa na Form four Mbowe!
 

Pumbav.u
 
ata akihaidi mabomba yatatoa maziwa sisi tutamchagua tu
 
Haja yangu CCM iondoshwe tu baasii,hapo tutaanza upya
 
Sisi Hatutaki Ccm Habari Za Ajira Tutajulia Huko Lakini Ccm Iwe Haipo
 
Ukitaka kuwa kichaa jiajiri kwa kufanya kazi au biashara inayotegemea umeme hapa tanzania.Ukweli au Uongo?
Jukumu la kuhakikisha umeme wa uhakika ktk nchi ni la nani?
 
wanadanganywa watapewa ajira bwelele wakiwasaidia kwenda ikulu, wanaambiwa pesa zitakua nje nje tu wakiwapetisha wao kwenye uchaguzi, wanawadanganya hawatokuwa boda boda tena endapo watawachagua kwenda ikulu kumbe hawajui mbinu za wanasiasa uchwara wa bongo. Huu ni uongo wa asubuhi kweupe kabisa, pesa zitaendeshwa kwa mujibu wa kanuni za kiuchumi ili kuzuia mfumuko wa bei, siyo kumwaga pesa hovyo kisa mumewachagua. Ajira zitatolewa kwa uwezo wa serikali kuwalipa watumishi na uwezo wa wawekezaji kuendesha uchumi wao. Hata ukienda uingereza kuna shida kubwa ya ajira, hakuna nchi inayoweza kuotoa ajira kwa watu wake wote, na huwezi kuiacha kazi yako ya boda boda baada ya kupita Rais fulani, tunachotaka ni unafuu wa maisha tu
 
Kama ni huo unaouita ugali, tushaula kwa zaidi ya miaka 50 kwa hiyo hivi sasa ushatukinai ile mbaya.

Ni lazima kabisa mwaka huu tubadilishe diet, hata kama ikibidi tutoke kwenye ugali wa sembe, hivi sasa tutaanza kula ugali wa mihogo.

Ukitaka kujua umuhimu wa kubadilisha diet, hata yule Dr Mihogo ameamua kuikimbia diet ya mihogo ya hapa nyumbani na hivi sasa kakimbilia Marekani ili abadilishe diet ya mihogo na huko 'majuu' hivi sasa anajichana mapiza!

Kwa hiyo mwaka huu hakuna namna nyingine bali tu MABADILIKO ni LOWASSA na LOWASSA ni MABADILIKO

Hata kama atakuwa anatembelea wheel chair, bado tutampeleka Ikulu Edo wetu ndani ya wheel chair yake hivyo hivyo!
 
Ndio kampeni zenu za vitisho nyie wapumbavu. sisi tumekwisha amua, tunataka uchaguzi huru la sivyo tutaandamana pasipo kikomo mtuue. Kwanza tanzania haina amani ni kuvumilia tu

nenda kongo ndo utajua tanzania kuna amani au maigizo. usisahau kutembelea kaskazini mwa uganda na eneo kati ya ethiopa na kenya.

sisi tulikuwa na changamoto za viongozi wetu kuwa na tamaa na hizi kwishnei kipindi cha magufuli. lakini hapa amani ipo. kama unaona haipo hujachunguza majirani zetu wanaishije. tembea uone.

tanzania hii unatembea kaskazini mpaka kusini, magharibi mpaka mashariki popote ufikapo ukiwathibitishia wewe ni mtanzania unapokewa. kwa wengi wa majirani zetu hali haiko hivo

acheni uongo
 
hapa tunashuhudia kwa uzuri kabisa mtu aliyeenda shule halafu hajaelimika anakuwaje.

anakwambia ccm kuna ufisadi wa escrow na nk. sawa. lakini anaishia hapohapo. haendi mbali kutaka kuona umekujaje. nani aliuleta. huyo rais anayekuja ana historia gani / rekodi gani kwenye hii changamoto kubwa ya ufisadi. kazi ya urais si ya kulala kitandani, hivyo, je, huyo ajaye ataweza mudu mikiki mikiki ya kila siku? hilo kundi linalokuja lina uwezo gani? lina mipango ipi? au kila mmoja na mipango yake? au ni kundi kubwa ambalo lina vikundi vingi na kila kikundi kina mipango yake?

mambo ya kuya chunguza ni mengi na yote ya muhimu

lakini mwisho wa siku jawabu utakalo lipata ni kuwa ccm chini ya magufuli ndio chaguo bora. ukiwa mtu makini huwezi mlinganisha magufuli na lowasa. saizi ya magufuli alikuwa dr slaa. japokuwa chama chake kingemuangusha
 
Kwani tatizo ni nini? Ccm mnashangaza kwani wanaongoza nchi ni chama gani? Kama watu wamewachoka mnataka kuwalazimisha kwa nini halafu kila mtu ana haki ya kuchagua anayemtaka ndio democrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…