Vijana na changamoto ya ajira

teamsuccess

Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
9
Reaction score
0
Habari, najua waweza kuwa nje ya Dar nakuomba tuma ujumbe huu kwa watu unaowajua wahishio Dar utakuwa umeonyesha kujali "Jumatatu ya leo tarehe 28.7.2014 saa 12 jioni hadi saa 2 usiku tumebahatika kupata udhamini ili kuweza kujadili mstakabali wa taifa juu ya vijana na ajira.

Tukio hili ni kwa wenye mapenzi mema na Tanzania. Halitakuwa na kiingilio. Wapi - Millennium Tower kijitonyama ghorofa ya pili. Wahi kwa kujiandikisha kwa namba hii 0769530240 only 160 seats reserved for the function. First come first served basis to apply."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…