Vijana hatuandamani

Nyerere aliacha ajira na kukiunga katika mapambano ya kupigania uhuru. Wewe unaubinafsi na hutofika popote, nchi inaliwa, watu wanakufa wewe unaleta hoja za kitoto hapa.
 
Maliza kuharisha ukachukue buku saba sasa. Vijana wanaojielewa hawanaga upuuzi kama wa kwako.
 
Kiukweli kuandamana Kwa kuchoma mali za Umma na za binafsi siyo vizuri.kibanda changu Cha biashara kilichomwa moto na haki kuwa na bima.Kuandamana Kwa fujo siyo ustaarabu lakini viongozi wetu wajirekebishe kufanya mambo yanayochukiza wananchi
 
Tarehe 7&8 disemba utanunua unga na mchele,halafu 9/12 utaomba serikali wasizime mtandao Ili ushuhudie vurugu ukiwa ndani unakuna fungus
Siku hizi mnaogopa sana maandamano. Mwanzoni mlikuwa mnawakejeli tu vijana. Sasa msubiri wawanyooshe mpaka akili zenu ziwakae sawa. Kuhusu kununua unga na mchele kwenye hizo tarehe zako, that is non of your business.
 



You are a fool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…