Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,040
- 1,462
Stori ipo hivi, jana majira ya saa 9 alfajiri nilikua Airport ya Mwl Nyerere nikiwa katika shuguli zangu za kawaida kabisa nilikuwa na wageni walikua wana safiri nikawashusha wageni wangu terminal 2 wakasepa zao.
Nikarudi kukata tiketi ya parking cha ajabu nika ona askari wana msihi kijana mmoja atoke nje ya airpot.
mwamba mmoja aliekua hana bag wala haionyeshi kama ana safiri au la? Askari walipo ulizwa mbona mna mkamata huyo? Waka jibu huyu hana tiket pia ana dai ana enda South Africa kutafuta maisha pia Hana passport
Ajabu ni kwamba hana tiket kibegi cha kuzugia, wala sent 50 hana
Kapiga mzula wake kanda mbili na jeans kubwa bwanga
Wakajaribu kumtoa akawa ana bisha wakampiga mitama mabuti mpaka akasalenda aka toka, huku kapigwa Tanganyika jek just imagine mzee...
Halafu alivyo baharia haswa baada yakutolewa nje na mimi muda sii mrefu nikawa natoka nikapita hapo mbele kuna round about karibu nahigh way ya kuelekea pugu sijui gongo la mboto kuna kituo cha mafuta cha Puma kushoto kama unatoka terminal 2
Nika jaza mafuta, ajabu nika mwona tena yule jamaa (kijana) ana kuja pale Puma nika muuliza mkuu vipi mbona wamekutoa nduki ma poti aka niambia ana taka azamie sauzi ma poti wana mwonea et wamemtoa kama nduli Idd amini
Nika mwambia hutoboi kwa hiyo staili yako ya ukichaa punde kumbe maaskari wali jificha walivyo mwona ana rudi tena wakati walisha msamehe waka unga nae sijui kama wali mkamata maana walifukuzana nae mbali tu walipotelea gizani.
Nikawa najisemea moyoni huyu jamaa ni wale wakurupukaji ambao huwa hawasomi mazingira kabla ya kupanga safari kwa sababu hata pale terminal 2 alikua wrong alitakiwa awe terminal 3 wanayo safiri wa kimataifa. Kitu kingine wanadai alikua hana passport aisee huyu baharia nilihisi amechizika huwezi kujizima data kama yule aisee utapandaje pipa kizembe vile aisee
Mimi kama balozi wa mabaharia Bongo natoa angalizo jamani tuwe sereous na tunacho taka kukifanya sio mtu una jipulizia bangi mbichi then una kurupuka tu.
Pangilia mambo yako vizuri ndipo usafiri huyu jamaa mimi aliniacha mdomo wazi ni kichwa box na weza kusema hivyo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nikarudi kukata tiketi ya parking cha ajabu nika ona askari wana msihi kijana mmoja atoke nje ya airpot.
mwamba mmoja aliekua hana bag wala haionyeshi kama ana safiri au la? Askari walipo ulizwa mbona mna mkamata huyo? Waka jibu huyu hana tiket pia ana dai ana enda South Africa kutafuta maisha pia Hana passport
Ajabu ni kwamba hana tiket kibegi cha kuzugia, wala sent 50 hana
Kapiga mzula wake kanda mbili na jeans kubwa bwanga
Wakajaribu kumtoa akawa ana bisha wakampiga mitama mabuti mpaka akasalenda aka toka, huku kapigwa Tanganyika jek just imagine mzee...
Halafu alivyo baharia haswa baada yakutolewa nje na mimi muda sii mrefu nikawa natoka nikapita hapo mbele kuna round about karibu nahigh way ya kuelekea pugu sijui gongo la mboto kuna kituo cha mafuta cha Puma kushoto kama unatoka terminal 2
Nika jaza mafuta, ajabu nika mwona tena yule jamaa (kijana) ana kuja pale Puma nika muuliza mkuu vipi mbona wamekutoa nduki ma poti aka niambia ana taka azamie sauzi ma poti wana mwonea et wamemtoa kama nduli Idd amini
Nika mwambia hutoboi kwa hiyo staili yako ya ukichaa punde kumbe maaskari wali jificha walivyo mwona ana rudi tena wakati walisha msamehe waka unga nae sijui kama wali mkamata maana walifukuzana nae mbali tu walipotelea gizani.
Nikawa najisemea moyoni huyu jamaa ni wale wakurupukaji ambao huwa hawasomi mazingira kabla ya kupanga safari kwa sababu hata pale terminal 2 alikua wrong alitakiwa awe terminal 3 wanayo safiri wa kimataifa. Kitu kingine wanadai alikua hana passport aisee huyu baharia nilihisi amechizika huwezi kujizima data kama yule aisee utapandaje pipa kizembe vile aisee
Mimi kama balozi wa mabaharia Bongo natoa angalizo jamani tuwe sereous na tunacho taka kukifanya sio mtu una jipulizia bangi mbichi then una kurupuka tu.
Pangilia mambo yako vizuri ndipo usafiri huyu jamaa mimi aliniacha mdomo wazi ni kichwa box na weza kusema hivyo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app