Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Huduma ilisitishwa.
Kivipi mkuu sijakuelewaUshaharibu dili za staff...
Angalia PM yako mkuuMkuu tunapataje hiyo huduma
Hapo namba mbili hio 4GB ni kwa wiki nzima au kwa mwezi.??Habari zenu wakuu
Kuna jamaa yangu ameniomba nimfikishie huu ujumbe jukwaani.
Anaunganisha vifurushi vya mtandao wa tigo.
1. Kifurushi cha mwezi chenye dakika 550, Sms 8,000 na Mb 800 bei elfu Tano (5,000)
2. Kifurushi cha data 4GB na unarudishiwa Tsh 10,000 Kama muda wa maongezi
Gharama ya kifurushi hiki ni Tsh. 10,000.
Mawasiliano yake ntaleta baadae kidogo
Vifurushi vyote hapo ni kwa mwezi mkuuHapo namba mbili hio 4GB ni kwa wiki nzima au kwa mwezi.??
Fafanua kidogo mkuu
Vifurushi vyote hapo ni kwa mwezi mkuu
Hiki cha tigo ni kwa mwezi sio wiki mkuu, ila saivi kuna mitandao mingi mteja anachagua aende wapiHalotel gb4 kwa wiki 7000 chenji inabaki hapo ya kununua muda wa maongezi kwenda mitandao yote kwenye 10,000
Cheki PM yakoWeka mawasiliano basi
Cheki PM yakoNitaji pia. Najiungaje?
Hzo ofa huwa ni za staff wa tigo ila wao wanauza kwa maraiaKivipi mkuu sijakuelewa
Unga cha voda mkuu, mi nimezungumzia tigo kwa mwezi elfu kumi sishindanishi vifurushiVoda GB kumi wiki nzima kwa sh 10,000/