Hata hao watapatwa tu, na halotel labda line ya chuo ndo ina bundle zinazotazamika amd then nikisema nihamie halotel basi nitajikuta nina line jumla saba za simu na hapo bado sijajumlisha line nazotumia kwenye modem, yaani nina tabia kila nikiona sehemu fulani ina bundle za nafuu nakimbiliaga huko na nikishafika sikai sana nao wanapandisha tena. Yaani kama kodi inatozwa kwa voda, basi hata tigo, airtel na wengine watakuwa wanatozwa hivyo hivyo.