Vifurushi vya internet

Am desperate kuja kuona siku Tanzania itafanya kitu sahihi na kizuri mpaka tuje tufurahie na sisi, yaani we are so good at kukosea.
 
kwa tz yetu internet haitusaidii lolote habar zakina diamond ndo zinazosomwa zaidi bora iwe hivyo af watu wanaotumia internet ya halotel line ya chuo sijui wanapataje wengi sio wanachuo
 
Kama bado uko voda lazima uteseke,
Mtandao mpya hauja sala bei zake, HALOTEL mpango mzima
 
Kadi ya simu ni kama daladala unaangalia wapi kuna huduma nzuri upande. Huwezi kung'ang'ania gari bovu kwa sababu tu umelizoea! Litakufirisi.
 
zipo hadi ofa za 1000/= kwa wiki unapata 1.1GB Airtel
 
Pricing ya mitandao ya simu sasahivi inaangalia Internet.. So tulia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…