Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
Mimi nilijua labda umekosea ni 7,000/ kwa 70,000/ kula mwenyewe uone kama thamani ya hela hiyo na huyo kuku vinalingana.Huku Geita vifaranga wanauzwa 6000/
Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
ngoja niwasiliane na wachina naona kuna fursa hapo, nina vijikuku vyangu vya kienyeji naamini vinaweza kuwa kuchi, maana sio kwa bei hio kwa awamu hii ya vi wonder.