Vifaa vyote vya ulinzi(security equipments) na walinzi

Vifaa vyote vya ulinzi(security equipments) na walinzi

nobody knows but me

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
525
Reaction score
362
REVELATION SECURITY SERVICES COMPANY, tunauza vifaa vyote vinavyohusika na ulinzi, Tuna wataalafu walobobea katika kufunga vifaa vya ulinzi na pia tuna walinzi.karibuni kwa vifaa vya ulinzi na walinzi kwa ajili ya majumbani, maofisini na maeneo yetu ya biashara.
1476177623333.jpg
1476177981632.jpg
1476178059739.jpg
 
Mkuu....bei zinatofautiana kulingana na quality ya camera...kuna ambazo tunafunga kwa bei kuanzia 1,500,000 kwenda juu(highly recommended to our customers)...na nyingine tunafunga chini ya milioni moja na nusu...hizi ni zile hazionyesh clear na huwa zinahtaji services Mara kwa Mara.Tumedhamiria kuwapa wateja huduma nzuri ,kabla ya kuwafungia vifaa tunapenda kuwashauri kwanza.
Karibu mkuu....
 
System nzima ya cctv bei gani ya camera 4
Mkuu....zinatofautiana bei kulingana na ubira wa camera..zipo tunazozifunga kuanzia 1,500,000 kwenda juu(highly reccomended camera) na zingne tunazifunga kwa bei chini ya million I moja na nusu...( hizi hazipo clear na huwa znahtaji service za Mara kwa mara ) baada ya mchanganuo mteja mwenyewe ataamua..
karibu mkuu..
 
jamani hamnaga camera ambazo mtu sio rahisi aione maana nataka nifunge chumbani kwangu na mke asijuee yani iwe siri ni mimi tu
REVELATION SECURITY SERVICES COMPANY, tunauza vifaa vyote vinavyohusika na ulinzi, Tuna wataalafu walobobea katika kufunga vifaa vya ulinzi na pia tuna walinzi.karibuni kwa vifaa vya ulinzi na walinzi kwa ajili ya majumbani, maofisini na maeneo yetu ya biashara.View attachment 416095View attachment 416097View attachment 416099
 
Mkuu....zinatofautiana bei kulingana na ubira wa camera..zipo tunazozifunga kuanzia 1,500,000 kwenda juu(highly reccomended camera) na zingne tunazifunga kwa bei chini ya million I moja na nusu...( hizi hazipo clear na huwa znahtaji service za Mara kwa mara ) baada ya mchanganuo mteja mwenyewe ataamua..
karibu mkuu..
Kupata mchanganuo ndo hadi nije huko??

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
jamani hamnaga camera ambazo mtu sio rahisi aione maana nataka nifunge chumbani kwangu na mke asijuee yani iwe siri ni mimi tu

Subiri umuone my wife wako akijipiga selfie za usiku wakati akichati wassapu na picha hizo hazijakufikia wewe ndo utajua kuwa sio makonda wote lazima wawe kwenye magari, hata kwenye maofisi makubwa pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom