VIFAA VYA SALOON VINAUZWA 780K

VIFAA VYA SALOON VINAUZWA 780K

zubery

New Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Hello?,
Nauza vifaa vya salon kwa jumla 780K , Sababu ya kuuza ni kushindwa kuisimamia biashara hii kutokana na shughul zangu za kila siku.
Mashine,Kiti kimoja cha kunyolea, Kiti kimoja cha wateja (watu wa 3) , Sofa moja la watu wa tatu ,Sterilizer 1, King'amuzi ,TV na Deki (kama utahitaji), Vioo viwili vikubwa ,Fan n.k
Karibuni 0745775598 whatsapp/Calll
Napatikana Dar Kimara
Karibuni
20190407_115528.jpeg
20190407_115550.jpeg
20190407_115554.jpeg
 
Biashara ya Saloon za kiume ina changamoto sana. Naona nyingi zinafungwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom