Vifaa vya Hospitali

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,565
Reaction score
14,848
Je ndugu zangu mnafahamu madalali wa vifaa vya Hospitali Tanzania? Nina mzigo mkubwa natafuta madalali wa kufanya nao business. Kama kuna watu wanafanya sales kwenye kampuni kubwa au wana nunua vifaa kwa jumla nipeni link au email.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…