kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,635
Habarini wakuu,
Nahitaji duka la kununua vifaa vya hardware (kama misumeno,nyundo, bawabu, pima maji etc ) kwa bei ya jumla maeneo ya Kariakoo. Duka lenye kuuza bei ya chini kabisa kupita mengine. Itapendeza nikipata jina duka,mtaa etc.
Natanguliza shukrani
Nahitaji duka la kununua vifaa vya hardware (kama misumeno,nyundo, bawabu, pima maji etc ) kwa bei ya jumla maeneo ya Kariakoo. Duka lenye kuuza bei ya chini kabisa kupita mengine. Itapendeza nikipata jina duka,mtaa etc.
Natanguliza shukrani