Unayo proofer? ni saizi gani na unauza sh ngapi?Nauza vifaa vya bakery ambavyo bado vinatumika kwa sasa. Napatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Tel. 0754 801 402
Mnaaambiwa kusoma mnakimbia kimbia tu hata kuandika matangazo hamjui mnakuja kusumbua watu hapa, eti nauza vifaaa vya bakery vipo kigamboni unaweka namba ya simu unadhani umemaliza kuandika tangazo.Nauza vifaa vya bakery ambavyo bado vinatumika kwa sasa. Napatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Tel. 0754 801 402