kipoke KIPOKE
Member
- Apr 20, 2015
- 54
- 9
Hii naona kama comedy hivi Pinda mtoto akiugua unatafuta mwingine?
Ni swali ambalo watanzania wengi sana tunajiuliza tuna kampuni kubwa sana za mawasiliano nyingi zikiwa za watu binafsi na nyingine kubwa ambayo inasuasua TTCL Ni ya serikali leo waziri mkuu anawakaribisha wawekezaji wanaofanya same business na TTCL SASA NIA YAKE NI NINI ?Kama haifanyi vizuri ni bora ikafutwa ndio ulete kampuni nyingine ya serikari.
Sisi tunataka huduma safi na bora ila tunahoji je serikali inaweza ikatumia wawekezaji kwenye mawasiliano ya nchi?maana kwa kuazia halotel wamepewa shule karibia laki tatu hospitali zote vijiji vyote wameweka minara tena mingine wanatumia ya TTCL
Ni swali ambalo watanzania wengi sana tunajiuliza tuna kampuni kubwa sana za mawasiliano nyingi zikiwa za watu binafsi na nyingine kubwa ambayo inasuasua TTCL Ni ya serikali leo waziri mkuu anawakaribisha wawekezaji wanaofanya same business na TTCL SASA NIA YAKE NI NINI ?Kama haifanyi vizuri ni bora ikafutwa ndio ulete kampuni nyingine ya serikari.
Sisi tunataka huduma safi na bora ila tunahoji je serikali inaweza ikatumia wawekezaji kwenye mawasiliano ya nchi?maana kwa kuazia halotel wamepewa shule karibia laki tatu hospitali zote vijiji vyote wameweka minara tena mingine wanatumia ya TTCL