Viduka vya Airport

Viduka vya Airport

celin

Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
62
Reaction score
13
[h=2][/h]Airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kila kukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kiduka kingine. Mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo husika nowdays nyerere inabeba watu wengi kila kukicha wanaongezeka sasa unapo punguza eneo madhara ni makubwa kupita faida. Mwakyembe yeye ni waziri wa uchukuzi ndo maana namuingiza hapa yeye kama hapiti huko nadhani anapita VIP lounge.
 
Celin! Weka habari yako vyema naona kama umetoka usingizini vile.! Vinaibukaje hivyo viduka je vinasaidia mahitaji ya wasafiri?? Mwakyembe kama waziri ana husikaje hapo? ? Weka vyema tujadili habari yako.
 
Kobe kule airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kilakukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kidukakingine.mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo husika nowdays nyerere inabeba watu wengi kilakukicha wanaongezeka sasa unapo punguza eneo mazaranimakubwa kupita faida .mwakiyembe yy ndo waziri wa uchukuzi ndo maana namuingiza hapa yeye kama yeye hapiti huko yy nazani upita vip loange.
 
Una ujumbe ila maneno yako kama muhamiaji haramu.
Kobe kule airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kilakukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kidukakingine.mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo husika nowdays nyerere inabeba watu wengi kilakukicha wanaongezeka sasa unapo punguza eneo mazaranimakubwa kupita faida .mwakiyembe yy ndo waziri wa uchukuzi ndo maana namuingiza hapa yeye kama yeye hapiti huko yy nazani upita vip loange.
 
Celin jifunze kuandika vzr, hueleweki na kama ni dent basi jitahidi ujue kupanga kwa TEE/C (Topic sentence, explain, example & conclude)
 
Kobe kule airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kilakukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kidukakingine.mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo husika nowdays nyerere inabeba watu wengi kilakukicha wanaongezeka sasa unapo punguza eneo mazaranimakubwa kupita faida .mwakiyembe yy ndo waziri wa uchukuzi ndo maana namuingiza hapa yeye kama yeye hapiti huko yy nazani upita vip loange.

Pare,loange ,nazani,mazarani,mwakiyembe! Duh yaani majanga matupu
 
Mbona watu mnachapia sana.
Vyovyote vile point ni nzuri,pale eneo linakuwa dogo sana,wakati flow ya wageni inaongezeka.
Halafu inakuwaje zitoke frame pale bila kutanganzwa na nani anahusika.
Pale kuna watu wanalipa kodi kubwa sana kwenye viduuka na ofisi na kuna watu wanalipa bei za tandale
 
Kobe kule airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kilakukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kidukakingine.mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo husika nowdays nyerere inabeba watu wengi kilakukicha wanaongezeka sasa unapo punguza eneo mazaranimakubwa kupita faida .mwakiyembe yy ndo waziri wa uchukuzi ndo maana namuingiza hapa yeye kama yeye hapiti huko yy nazani upita vip loange.
TZ hopeless planners !! "GROWTH"
Nchi inkua UKUAJI kwa kasi, Lakini hakuna mipango maalum........ Sasa wanataka kuhamisha CONGO st/KARIAKOO, hapo JNIA airport kodi za mfukoni zinalipa sana!!
 
celin inaonekana alikuwa na haraka labda kwa kujua kuwa baada ya kupanda ndege mawasiliano ya internet hayatapatikana, hivyo akaona aandike haraka haraka.
Lakini ukimsoma between the lines utaona kuwa alikuwa anazungumzia namna alivyoshangazwa namna viduka vinavyofunguliwa pale airport kila kukicha kwa ujanja wa watumishi wa uwanja ule na hivyo kupelekea eneo hilo kuwa dogo jambo ambalo linaweza kusababisha msongamano kutokana na wasafiri kuongezeka kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom