Mzee huyo tishio, tungewekewa roho za wakenya mwezi wa kumi itifaki, noti zingebadilishwa, ila kwa kuwa tumelishwa mapokeo huenda itifaki ikarudi. hata hivyo nampongeza sana mtu makini kama yeye kujitosa huoni sasa watu wanavyohaha, wanaingia kichwakichwa hata kwenye mitego ya TAKUKURU,badala ya kuchora ramani kiaina kama kawaida yao sasa wanajiingiza kiulaiiini sasa hiyo saa nane usiku na simu, bahasha atajiteteaje?:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: