Mungu ibariki Iringa
Hivi ikatokea mtuhumiwa akadhuriwa kwa namna yeyote ile, lawama zitakuwa kwa WanaCDM au tutasema polisi ni wazembe, hapo wanalinda usalama wao, hauwezi jua huenda ikawa kuna anayetaka kumdhuru Mshtakiwa, siku hizi mtu akikushika tu hata mkono ni mambo mengine, kuna kuua kwa sumu, Hapo sio kwenye sherehe kwamba lazima tuagane kwa shangwe na kukumbatiana, Upo Wrong mkuu. kwa sababu za kiusalama.Hii ndio mbinu mpya ya kishamba ya Polisi ya kuhakikisha Wanachama wa Chadema hawapati nafasi ya kumuaga mwenyekiti wao Mbowe
View attachment 1999753
As long As Kingai ni RPC wa Kinondoni Kuna kila dalili sasa ya wafuasi wa Chadema kuja kuchomwa moto ndani ya Mahakama hii kwa kisingizio cha shoti ya umeme , Ngoja tusubiri
Polisi wetu wana hadhi ya chini kuliko mbwa.
Umeufuata moyo wako, ukasahau akiliHii ndio mbinu mpya ya kishamba ya Polisi ya kuhakikisha Wanachama wa Chadema hawapati nafasi ya kumuaga mwenyekiti wao Mbowe
View attachment 1999753
As long As Kingai ni RPC wa Kinondoni Kuna kila dalili sasa ya wafuasi wa Chadema kuja kuchomwa moto ndani ya Mahakama hii kwa kisingizio cha shoti ya umeme , Ngoja tusubiri
Hii ndio mbinu mpya ya kishamba ya Polisi ya kuhakikisha Wanachama wa Chadema hawapati nafasi ya kumuaga mwenyekiti wao Mbowe
View attachment 1999753
As long As Kingai ni RPC wa Kinondoni Kuna kila dalili sasa ya wafuasi wa Chadema kuja kuchomwa moto ndani ya Mahakama hii kwa kisingizio cha shoti ya umeme , Ngoja tusubiri
kufungwa kwa Mbowe ni kazi ya Kitume ya Mungu mwenyewe , fuatilia kuuawa kwa Bwana YesuWafuasi wa chadema jiandaeni kisaikolojia, Rejea mahojiano kati ya Rais na Kikeke. Nadhani majibu mnayo
Maneno ya Teja la CDM mdude madawa
Nani alikupiga fix kwamba Watuhumiwa waagwa hivyo ?Hivi ikatokea mtuhumiwa akadhuriwa kwa namna yeyote ile, lawama zitakuwa kwa WanaCDM au tutasema polisi ni wazembe, hapo wanalinda usalama wao, hauwezi jua huenda ikawa kuna anayetaka kumdhuru Mshtakiwa, siku hizi mtu akikushika tu hata mkono ni mambo mengine, kuna kuua kwa sumu, Hapo sio kwenye sherehe kwamba lazima tuagane kwa shangwe na kukumbatiana, Upo Wrong mkuu. kwa sababu za kiusalama.
Id za kununuliwa bandoUmeufuata moyo wako, ukasahau akili
Hapo ndipo unavyoonesha utofauti na wale wengine wasioweza kuuona ukweli au wanaona lakini wanapingana na ukweli huo. Nadhani hii kesi imewakalia vibaya Polisi. Tusubiri tuone mwisho wake.Duh.....au kiki tu!
Hii kesi inaweza kwisha kabla ya wakati.
Acha undezi,Jambo lipi jema hapo?Ni Jambo jema
Akili hii pambana sana kujifunza usife hivi..Maneno ya Teja la CDM mdude madawa
Nchi hii ihexhimuHii ndio mbinu mpya ya kishamba ya Polisi ya kuhakikisha Wanachama wa Chadema hawapati nafasi ya kumuaga mwenyekiti wao Mbowe
View attachment 1999753
Nchi hii iheshimu uhuru na haki kwa raia ,na utawala wa sheria.Hii ndio mbinu mpya ya kishamba ya Polisi ya kuhakikisha Wanachama wa Chadema hawapati nafasi ya kumuaga mwenyekiti wao Mbowe
View attachment 1999753
As long As Kingai ni RPC wa Kinondoni Kuna kila dalili sasa ya wafuasi wa Chadema kuja kuchomwa moto ndani ya Mahakama hii kwa kisingizio cha shoti ya umeme , Ngoja tusubiri
As long As Kingai ni RPC wa Kinondoni Kuna kila dalili sasa ya wafuasi wa Chadema kuja kuchomwa moto ndani ya Mahakama hii kwa kisingizio cha shoti ya umeme , Ngoja tusubiri