Bila shaka kama haijulikani nduguze ni kina nani, kazaliwa wapi, kasoma na nani na kwao wapi then haya majina ni ya kutunga na usishangae ikawa kama ile ya ulimboka. Ni bahati mbaya sana hatuna independent investigators ambao wanaweza ku-prove otherwise, na pale unapokuwa na single source of information ni rahisi kuingia
chaka!