Mfano ;- wewe
umempenda demu ,,
ukamtongoza akakubali ,,
akakuambia uje
nyumbani ,, ukafika kwao
ukamuuliza ,, unakaa na
nani '? akakujibu :- naishi
na bibi ila hayupo hapa
yupo hospitali kalazwa ,,
mkalala kitandani ,,usiku
wa manane mara mkasikia
hodi ,, Binti akakuambia
jifiche uvunguni '
ukajificha" akafungua
mlango ,, akakuta watu
wameleta maiti ya bibi
yake ,, wakaja kuiweka
kitandani ,, huku wewe
ukiwa umejificha chini ya
uvungu wa kile kitanda
mpk asbh ,, ukicheki watu
kibao wamejaa sebuleni
mpaka nje ,, je !
utafanyaje na nguo kalalia
marehemu '? nipe jibu
fasta.
umempenda demu ,,
ukamtongoza akakubali ,,
akakuambia uje
nyumbani ,, ukafika kwao
ukamuuliza ,, unakaa na
nani '? akakujibu :- naishi
na bibi ila hayupo hapa
yupo hospitali kalazwa ,,
mkalala kitandani ,,usiku
wa manane mara mkasikia
hodi ,, Binti akakuambia
jifiche uvunguni '
ukajificha" akafungua
mlango ,, akakuta watu
wameleta maiti ya bibi
yake ,, wakaja kuiweka
kitandani ,, huku wewe
ukiwa umejificha chini ya
uvungu wa kile kitanda
mpk asbh ,, ukicheki watu
kibao wamejaa sebuleni
mpaka nje ,, je !
utafanyaje na nguo kalalia
marehemu '? nipe jibu
fasta.