Strawberry
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 274
- 108
Jamani mapenzi matamu kweli kweli.sasa sijui huyoo mama wa hicho kichanga alibakwa,alikuwa mapenzini na njemba likakataa mimba ama vipi?Adi inafikia hatua ya kuzaa na kuamka kukachimbia katoto na kukafukia.
Ila Mungu mkubwa jamani pampja na kufukiwa kamepigania uhai wake adi kamepona.wasamalia wema wakakaona wakakafukua na kukapeleka hospital.
Akina kaka jamani tumieni busara jamani msikatae viumbe vyenu.
Ila Mungu mkubwa jamani pampja na kufukiwa kamepigania uhai wake adi kamepona.wasamalia wema wakakaona wakakafukua na kukapeleka hospital.
Akina kaka jamani tumieni busara jamani msikatae viumbe vyenu.