choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,087
Mechi imesimama dakika nyingi kwa tukio dogo ambalo refa angeweza kuamua ndani ya sekunde 3 tuu
Imetumia muda mrefu sana kuamuaJapo ile ilikua red card . Mkono ulikua kwenye un natural position
Nakumbuka ilisomwa lwenye bajeti na Msingapo kuwa VAR itanunuliwa kwenye Mwaka wa Fedha 2024/25 TFF cjui kwann hawajaanza kuitumiaWapo sahihi, mtajuaje na huko kuna VAR wakati Bongo mliingizwa chaka na TFF kuhusu VAR 😂
Wenye VAR yao waacheni watambe nayo Hata kwenye makosa yanayoonekana wazi, hata mpira ukitoka ili urushwe kwa mikono inabidi refa akaangalie Kwenye VAR ili mpira upelekwe sehemu sahihi refa asije akakosea 🔥Nakumbuka ilisomwa lwenye bajeti na Msingapo kuwa VAR itanunuliwa kwenye Mwaka wa Fedha 2024/25 TFF cjui kwann hawajaanza kuitumia
VAR ya ajabu sanaWenye VAR yao waacheni watambe nayo Hata kwenye makosa yanayoonekana wazi, hata mpira ukitoka ili urushwe kwa mikono inabidi refa akaangalie Kwenye VAR ili mpira upelekwe sehemu sahihi refa asije akakosea![]()