James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,587
- 2,677
SawaAliyewahi kuwa kocha wa Simba SC Sven Van Dabroek ambaye alifundisha FAR Rabat na Wydad Casablanca zote za nchini Morocco kisha akafundisha CR Belouzdad ya nchini Algeria anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Robertinho.
Kocha huyo kutoka Ubelgiji anatajwa kuwa chaguo la kwanza la uongozi wa juu wa Simba SC, na tayari ameanza mazungumzo ya awali, na kama mambo yatakwenda vizuri basi muda wowote kuanzia hivi sasa atatangazwa kuwa kocha mkuu klabuni hapo.
Kikosi cha Simba SC kinakwenda katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo FC, ikiwa chini ya Kocha mzawa Seleman Matola pamoja na Kocha wa makipa Dan Cadena.
Simba SC itacheza mchezo huo keshokutwa Alhamis (Novemba 09), katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Akija na yeye akapigwa Tano anafungishwa virago na Wana msimbazi wakiongozwa na yule mpayukaji wataanza kuponda hafai hafai hafai kocha hatufai na vilio juuAliyewahi kuwa kocha wa Simba SC Sven Van Dabroek ambaye alifundisha FAR Rabat na Wydad Casablanca zote za nchini Morocco kisha akafundisha CR Belouzdad ya nchini Algeria anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Robertinho.
Kocha huyo kutoka Ubelgiji anatajwa kuwa chaguo la kwanza la uongozi wa juu wa Simba SC, na tayari ameanza mazungumzo ya awali, na kama mambo yatakwenda vizuri basi muda wowote kuanzia hivi sasa atatangazwa kuwa kocha mkuu klabuni hapo.
Kikosi cha Simba SC kinakwenda katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo FC, ikiwa chini ya Kocha mzawa Seleman Matola pamoja na Kocha wa makipa Dan Cadena.
Simba SC itacheza mchezo huo keshokutwa Alhamis (Novemba 09), katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Rage ndio Mario Bariteli wa Simba au?Vinginevyo Rage ajengewe mnara
Rage ndiye anastahili Urais wa Heshima Simba SC...siyo Tapeli MudiB20.Rage ndio Mario Bariteli wa Simba au?
Simtambui naomba picha yakeRage ndiye anastahili Urais wa Heshima Simba SC...siyo Tapeli MudiB20.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Huyu ndio Aden Rage?
Wewe mmojawapo si umenirudia Mimi na mti wangu mpundapunda,😂😂😂😂 wee kweli?
Kumbe humu watu wanarudiana km nguo?
🤣🤣🤣 Labda tulidate ndotoni mkuuWewe mmojawapo si umenirudia Mimi na mti wangu mpundapunda,
Hukohuko itakua Ila tukarudiana huku huku🤣🤣🤣 Labda tulidate ndotoni mkuu