MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,051
Huyu mama alikuwa Mwenyekiti wa bunge lililopita, nakumbuka alikuwa na misimamo ya aina yake, aliwahi kumtaka Tundu Lissu kufuta kauli yake, ila Lissu alikataa kwa sababu sheria alizokuwa anazitumia bungeni siyo za bunge. Mkitupia na CV kidogo siyo mbaya