Vacancies at PPF Pensions Fund.

Hahahaha
Nilifanyaga interview yao post ya liason officer... Nilikutana na watu Kama utitiri Alafu hiyo pepa yenyewe ilibidi nigeukie wezangu niangalie kuwa wanaandika kuja kugundua Hakuna aliyekua anaandika kila mtu anamwangalia mwenzeie Alafu anacheka....
 
Ukiona hivyo docs zako siyo pdf.

Naassume portal yao iko sawa hivyo docs zako siyo pdf.

Zifungue kwenye word kisha bonyeza file, halafu save and send itakupa option ya kuzifanya docs zako kua xls au pdf, chagua pdf kisha publish.
Wps office inamove from nini huko to pdf, anyway tumetosha tusubr kuitwa km tutaitwa. Msisahau kutuupdate wakuu
 
Watu wako intern miakaaaa wanasubiri maybe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…