kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 510
Kitu kinatupaga wakat mgumu wanaume ni kwamba,
Umemtongoza demu na mmekubaliana, sasa siku umeamua kumkaribisha getoni kwako,, afu utata unakuja jee! Umuchakate siku hiyo hiyo au utulie kwanza hadi arudi siku ya pili??
Mi kuna demu apa nimemwambia aje getto weekend hii nimemletea zawadi aje achukue, kweli zawadi nimemnunulia lakin najiuliza sijui akija nimgonge???
Ila ataniona kitombi na sijatulia ataniona malaya.
Au nimuache tu hadi aje siku nyingne??
Afu anasema eti hajawahi kufanya mapenzi. Sijuu nimuache tu. Ila nikimuacha ntaonekana ZWAZWA
Mna lipi la kunishauri nimuache au nimchakate.
Umemtongoza demu na mmekubaliana, sasa siku umeamua kumkaribisha getoni kwako,, afu utata unakuja jee! Umuchakate siku hiyo hiyo au utulie kwanza hadi arudi siku ya pili??
Mi kuna demu apa nimemwambia aje getto weekend hii nimemletea zawadi aje achukue, kweli zawadi nimemnunulia lakin najiuliza sijui akija nimgonge???
Ila ataniona kitombi na sijatulia ataniona malaya.
Au nimuache tu hadi aje siku nyingne??
Afu anasema eti hajawahi kufanya mapenzi. Sijuu nimuache tu. Ila nikimuacha ntaonekana ZWAZWA
Mna lipi la kunishauri nimuache au nimchakate.

