Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?


ni hali tu ya kawaida mkaka...kila mtu ana interests zake...huwezi kuwa kama yule......endeleza msimamo wako huo huo....
 
mwanamke kujiremba ... natural tuachie misitu babueeeee... tunapendwa bado na bandia zetu
 
Uzuri wa m/Mke ni mwenye maadili na mwenye kumuogopa Mungu(Dini) asiwe Pepsi Fanta au full artificial
 
wanawake wengi wanaofanya artificialities kwenye miili yao, hata uzuri wanaoupata ni wa muda tu, hata wanapopendwa, hupendwa kwa muda tu, hata wanaume huwatumia wanawake hawa kwa muda na kuachana nao. Wale ambao hawataki makuu kwenye miili yao ndio hudumu kwa kila kitu; maumbo yao hudumu, sura zao nzuri hudumu, tabia zao nzuri hudumu hivyo mara nyingi hudumu kwenye penzi, ndoa na kadhalika. Mimi naamini kila mtu aliumbwa kwa dhumuni maalumu, hivyo unapojaribu kujibadilisha unaharibu hilo kusudi la kuumbwa kwako. Turidhike na namna Mungu alivyotuumba!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…