Kamuulize morsi wa egypt. Kahukumiwa kunyongwa. Tatizo lenu nyie ukawa mmejiapiza kuanzisha mauji iwapo mtashindwa. Na mkishinda mmejiapiza mtaangamiza dini zingine na watu wake ispokuwa ulutheri wenu. Ndiyo maana tumewakataa. Mkigomea matokeo na kungia mitaani polisi watawatandika pamoja na icc kuwepo. Mkiwa wabishi sana jeshi litawachapa na kuwauwa wote mnaotaka kutishia amani yetu, na kweli wote mtakufa, maana amani kwanza siasa baadaye.