Utapata alibaba kwa bei nzuri tu.Nataka kuagiza vifaa vya umwagiliaji (drip pipes and connecting accessories)
Na Tra si wanakomaa Sana na kodi ukileta bidhaa Mkuu?Utapata alibaba kwa bei nzuri tu.
Bidhaa za kilimo unalipia vat tu,hazina import duty mkuu.Na Tra si wanakomaa Sana na kodi ukileta bidhaa Mkuu?
Sorry Mkuu naongelea bidhaa nyingine kama electronics devices Mkuu.Bidhaa za kilimo unalipia vat tu,hazina import duty mkuu.
Hizo lazima ulipie duty na VAT,, tafuta clearing agent ili upate info zaidi kuhusu ushuru, vat na cost nyingine uli uwe na taarifa kamili kabla ya kuagiza mzigo.Sorry Mkuu naongelea bidhaa nyingine kama electronics devices Mkuu.
Daah nikajua ujanja ujanja kwenye kodi utakuepo hapo. Shukran chiefHizo lazima ulipie duty na VAT,, tafuta clearing agent ili upate info zaidi kuhusu ushuru, vat na cost nyingine uli uwe na taarifa kamili kabla ya kuagiza mzigo.