ndio jibu hilo, si swali, uliza jingine.
Kumbbe kabla haujaoa lazima ufanye utafiti
ndio jibu hilo, si swali, uliza jingine.
ndio jibu hilo, si swali, uliza jingine.
Hivi ni kweli kama mwanamke ametembea na wanaume wengi ni rahisi kuchepuka kama akiolewa na mme wake asipomridhisha?uzoefu unahitajika.
InawezekanaAnaweza kuwa na idadi fulani ya wanume lakini yeye asiwe sababu ya hiyo idadi labda alikuwa anatendwa? anaachwa pasipo yeye kuridhia.Halafu watu wanabadilika kuna watu wanathamini ndoa nakuona ni kitu cha thamani
Kasinde mambo
Mama upo?
Siku hizi crush zimekuchunia.
Mbona kimya hivyo?
Ni kweli kabisa na kama alizoea,hata akipata mwanaume anayemridhisha vipi atatoka tu nje...kumbk "Mazoea hujenga tabia"