pocha2
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 890
- 396
Kulingana na Kitengo cha Takwimu (Tanzania Bureau of Statistics, kuna jumla ya watanzania 25,203,467 wenye umri wa zaidi ya miaka 15. Ukichukukilia wastani uzito wa wastani wa kilo 1.33 wa ubongo wa binadamu, utapata kilo 33,520,611.11 ambazo ni sawa na tani 33,520.6, hii ina maana kiutamaduni na kisiasa kilo 1.3 huongoza tani 33,520.6 kwa wakati fulani. MUNGU NI MKUBWA msibishe. Hii hesabu unaweza kuipata tuu kama Jamii Forum itabaki huru.