Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
gani
sawa mkuugani
gani
sawa mkuugani
hahahahaa eti a.k.a MakinikaWilliam Malecela (Lemutuz) au makinikia kama anavyojulikana katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii kwa sasa ameitikisa tasnia ya television nchini baada ya kutangaza ujio wa TV yake . Masaa mawili baada ya kutangaza tu,wakurugenzi wa TV zote Kubwa nchini walifanya vikao saa
usiku kuona ni jinsi gani wanamdhibiti kabla hajawa tatizo huku wengine wakishauri aongezewe namba za supa mbebezz rangi ya mtume wamkeep bize
na kupoteza focus.
Lemutuz ambaye anajulikana kwa kuajiri vijana waliomaliza chuo kikuu pekee amedai mipango yake miezi ijayo ni kuanza kuuza ving'amuzi ambavyo hivi vitakuwa tofauti kidogo na vingine kwani king'amuzi hiki kitakuwa na Chanel moja tu ya Lemutuz TV. Mdau nini maoni yako katika mapinduzi haya?
Teh teh..Le mutuz aka Makinikia..Hahahaaaaaaaa Wallah nimecheka kama mwendawazimu.
Ni jana tu nilikuwa nalalamika nimemiss thread za MSAGA SUMU juu ya Le Mutuz.
Asante