Uzinduzi wa kampeni kata ya santilya

Uzinduzi wa kampeni kata ya santilya

Joined
Dec 14, 2013
Posts
78
Reaction score
24
Jana chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kilifanya uzinduzi wake wa kampeni za udiwani katika kata hiyo iliyopi mbeya vijijini
Katika uzinduzi huo ulioongozwa na mratibu kanda ya nyanda za juu kusini baada ya mh Mbowe kuto fika kutokana na sababu zisizo zuilika
Taarifa zinadai kuwa katibu mkuu Dr Slaa sasa ndo atakae tembelea na Chopa katika kata hiyo siku za karibuni
 
hiyo kata ni mali ya cdm , wala hatuna wasiwasi , Mbeya ni jambo la aibu kufungamana na ccm !
 
Jana chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kilifanya uzinduzi wake wa kampeni za udiwani katika kata hiyo iliyopi mbeya vijijini
Katika uzinduzi huo ulioongozwa na mratibu kanda ya nyanda za juu kusini baada ya mh Mbowe kuto fika kutokana na sababu zisizo zuilika
Taarifa zinadai kuwa katibu mkuu Dr Slaa sasa ndo atakae tembelea na Chopa katika kata hiyo siku za karibuni

kamanda inasemekana PICHA huwa zina sauti nyororo sana kuliko maneno matupu !
 
Tunashukuru kupata taarifa kwamba kampeni zimezinduliwa Santilya, hiyo ni kata ya CHADEMA
 
Hongereni sana wana santilya musirudi nyuma mpigeni kaz tunshindwa kuchangia sana kwa sababu hujatueleza mgombea kasemaje
 
Pamoja Daima wana Santilya kimbezeni musirudi nyuma
 
Back
Top Bottom