Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
Kila aliyepanda jukwaani ni Lowassa na ukawa tu VP kuhusu mwenyekiti wa Mbowe ckusikia akitajwa kabisa na washereheshaji wala wachangiaji. Inamaana sikuhizi so kiongozi chadomo.
Muda si mrefu atajiunga na Slaa na chadema masalia wenzake. Kashauza chama ila hajitambui anadhani ataweza kumshape EL na watu wake aliokuja nao, anajidanganya sana. Jana bila aibu anafikiria jinsi ya kukusanya sadaka ya mabadiliko pale jangwani. Sikujua jamaa hovyooo! sana.
mwaka huu ccm mtasema sana lakini ikulu sijui...
Kila aliyepanda jukwaani ni Lowassa na ukawa tu VP kuhusu mwenyekiti wa Mbowe ckusikia akitajwa kabisa na washereheshaji wala wachangiaji. Inamaana sikuhizi so kiongozi chadomo.
Mwenye hasira hii atakuwa mkwereHujui! utajua 25 oktoba muulize EL kilicho mleta chadema, atakuambia. Mmepoteza uhalali wenu kwa wanaojitambua.
Hujui! utajua 25 oktoba muulize EL kilicho mleta chadema, atakuambia. Mmepoteza uhalali wenu kwa wanaojitambua.