Wanajamvi leo nimeona picha ya kiberiti cha zaman kule kijijini tulikiita "ekibiriti kwe kyoma" yaani kiberiti cha chuma, nakumbuka muda uo umeshikwa tumbo la kuhara alafu umuamushe bi mkubwa afu awashe kiberiti ndo atawasha wapi...hapo hasiraa haaaa ni kula makofii tuu....
Tupia picha, taja jina lake mlivokuwa mnakiita na unakumbukaa nini....
Karibunii....
Tupia picha, taja jina lake mlivokuwa mnakiita na unakumbukaa nini....
Karibunii....