kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 378
- 692
Habarini wana nnzengo w MMU .
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Tuchukue nafasi hii kuwaomba radhi wapendwa we2 ambao tumewahi kuwasaliti na bado tunawapenda ila ni shetani tu mkata kamba ndo alitudanganya(alitupitia)
Z wangu naomba unisamehe ni shetani ty rudi nyumbani mamaa .utaniua mm mtoto wa mwanamke mwenzio.
NB: najua kuna watu bado watakazaa kuomba msamaha
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Tuchukue nafasi hii kuwaomba radhi wapendwa we2 ambao tumewahi kuwasaliti na bado tunawapenda ila ni shetani tu mkata kamba ndo alitudanganya(alitupitia)
Z wangu naomba unisamehe ni shetani ty rudi nyumbani mamaa .utaniua mm mtoto wa mwanamke mwenzio.
NB: najua kuna watu bado watakazaa kuomba msamaha