Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Mimi binafsi Kuna vitu zamani nilikuwa sivijui, baada ya kuvijua nilicheka Sana.
Kuna ile slogan ya kwenye tangazo la tigo zamani kidogo, mimi nilikuwa nasikia wanasema
ESHESHESHEEEEE
baadae nikaja kugundua wanasema
EXPRESS YOUR SELF
Nilijiona Fara.
Halafu Kuna yale maneno yanasikika baada ya taarifa ya habari ya RADIO FREE AFRIKA (RFA)
Yanasema:-
OBSUGU OBSUGU...AREFEI AREFEI
hadi leo sielewi wanasema nini.
Karibu tutiririke
Kizibo
Kuna ile slogan ya kwenye tangazo la tigo zamani kidogo, mimi nilikuwa nasikia wanasema
ESHESHESHEEEEE
baadae nikaja kugundua wanasema
EXPRESS YOUR SELF
Nilijiona Fara.
Halafu Kuna yale maneno yanasikika baada ya taarifa ya habari ya RADIO FREE AFRIKA (RFA)
Yanasema:-
OBSUGU OBSUGU...AREFEI AREFEI
hadi leo sielewi wanasema nini.
Karibu tutiririke
Kizibo