Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,000
Wakuu baada ya post nyingi za " anaefahamu jambo hili anisaidie ", "mwenye kitu hichi anisaidie" nk nimeona nirahisishe tukutane hapa kila mtu ataje japo kitu kimoja anachokifahamu kinaga ubaga (nje ndani) ili siku yoyote mtu akihitaji msaada katika jambo hilo akutafute direct.
Note: sio lazima utaje kile unachojishughulisha nacho ila ukiridhia mwenyewe sawa (kwa kutunza taarifa zetu personally ) ila ni lazima utachokitaja uwe unakifahamu vilivyo na sio ku pretend.
Lengo: ni kuji identify ili kuvutia fulsa na marafiki wa kada yako na sio kutambiana au kujionesha. Pia kurahisisha mchakato kwa watakao taka huduma yako.
Me binafsi ukiacha kutumikia umma, ila nimezunguka sana kibiashara nchi namikoa kadhaa, nimetengenza mtandao wa wafanya biashara na wateja tofauti tofauti,. Pia nina experience na biashara kadhaa kuanzia za mtaji mdogo kabisa hadi level za kati. So nina ji identify kama Mfanya biashara.
KARIBUNI TUTAMBUANE
Kwa nilipo kosea mtanirekebisha.
Note: sio lazima utaje kile unachojishughulisha nacho ila ukiridhia mwenyewe sawa (kwa kutunza taarifa zetu personally ) ila ni lazima utachokitaja uwe unakifahamu vilivyo na sio ku pretend.
Lengo: ni kuji identify ili kuvutia fulsa na marafiki wa kada yako na sio kutambiana au kujionesha. Pia kurahisisha mchakato kwa watakao taka huduma yako.
Me binafsi ukiacha kutumikia umma, ila nimezunguka sana kibiashara nchi namikoa kadhaa, nimetengenza mtandao wa wafanya biashara na wateja tofauti tofauti,. Pia nina experience na biashara kadhaa kuanzia za mtaji mdogo kabisa hadi level za kati. So nina ji identify kama Mfanya biashara.
KARIBUNI TUTAMBUANE
Kwa nilipo kosea mtanirekebisha.