The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Nauhakika JF inaheshimu haki za kikatiba za mmoja mmoja ,kujiandikisha ni suala hiari na asietaka katiba inamlinda ,mimi sababu yangu ni silidhiki na nia ya dhati ya serikali kusimamia demokrasia ,sioni uhuru wa wanariadha wengine kukimbia (vyama pinzani ,wanaharakati ,wananchi)
Siamini kama kuna uhuru wa vyombo vya habari kutofuatilia kifo cha azory kwa userious ,kukamatwa waandishi wa habari kuliko muda wote tangu 1961,best record ya kufungia na kutishia waandishi ,tunaanzia Paschal mayalla day one .
Tume kutokuwa huru ,kujihusisha sana na mambo ya chadema+cuf +act kuliko CHAUMA ,CCM , DP ,TADEA etc huko hakuna onyo la kulazimisha uchaguzi wala kuwafuatilia matumizi yao maana kimsingi hawako serious au wako madarakani .
Ntapiga kura kwa kushtaki kwa allah na kuombea serikali ijitambue .
MIMI SIJIANDIKISHI NG'O
Siamini kama kuna uhuru wa vyombo vya habari kutofuatilia kifo cha azory kwa userious ,kukamatwa waandishi wa habari kuliko muda wote tangu 1961,best record ya kufungia na kutishia waandishi ,tunaanzia Paschal mayalla day one .
Tume kutokuwa huru ,kujihusisha sana na mambo ya chadema+cuf +act kuliko CHAUMA ,CCM , DP ,TADEA etc huko hakuna onyo la kulazimisha uchaguzi wala kuwafuatilia matumizi yao maana kimsingi hawako serious au wako madarakani .
Ntapiga kura kwa kushtaki kwa allah na kuombea serikali ijitambue .
MIMI SIJIANDIKISHI NG'O