Uzi kwa wale tuliofilisika

Uzi kwa wale tuliofilisika

madindigwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
2,498
Reaction score
2,925
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza tufarijiane tupeane moyo naanza na mimi mwenyewe binafc ni kujana wa makamo ambae cjafikisha umri wa miaka 40

Nilikua na ofic kariakor kodi ml 1 kwa mwezi nilweza kumudu kuilipa nilikua na viwanja kadhaa magar mawili ya kutembelea

Nilimiliki nyumba moja na ambayo mpaka sasa nimebaki nayo
Nimesafir nchi mbali mbali Kenya muzambiq Ethiopia Thailand hongkong Qatar China kote huko ni katika kutafuta riziki nilimiliki pesa nyingi tu lakin vyote vimebaki history

Nimepoteza katika utafutaji sikuwahi kuchukua mkopo bank namshukur Mungu huenda nisingekuwemo kwenye ka pagala kangu kigambon
Nimesemwa sana na bado nasemwa sana nimefirisika na ndugu jamaa na marafiki
Nimejifunza mengi sana katika Haya mapito

Nimeshawajua rafiki zangu na ndugu zangu bado nipo kwenye safar ndefu ya kutafuta cjakata tamaa najua tuko wengi hebu tufarijiane tulio filisika na pia wafilisika watarajiwa tupeni ushaur wa ki saikolojia tunapitia mazingira magum sana

Sema umepoteza nini jipe imani kama utarudi kama zamani au zaidi

Nb nimefirisika katika kutafuta hakuhusiani na utawala huu.
 
Duh kaka we acha tu. Nilimiliki mpaka Mercedes Benz ya kutembelea nyumba nyingi na mashamba. Ukiambiwa leo nimebaki na nyumba ninayoishi tu. Sina gari halafu nadaiwa 175,000. (Laki na sabini na tano) marafiki na ndugu wameingia mitini
 
Naelewa sana hichi unachosema...kijana pia nlipata hela zakujimudu na Maisha na familia yangu.nilikua na kampuni ya jenzi inafanya vizuri tu mkoani huko.mikosi ilitokea ghafla kifusi nimekipanga mvua ikapiga kikazilewa

Hapo nimekopa Lita 20,000 za diesel,tipper kumi zipo site kama siku 15 per day 160,000 .mradi nlimaliza kwa mateso na madeni.nlikua na magar sina tena.Gar la mwisho nimekopa kwa mtu kwa riba tokea January imeahindikana kulipa 2m.

Nipo napambana familia wanakula.Kikubwa ni kukaa kwenye line usirudishe mpira golini au kukata tamaa.Fight huku ukihakikisha nyumban kuna Amani.
 
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza tufarijiane tupeane moyo naanza na mimi mwenyewe binafc ni kujana wa makamo ambae cjafikisha umri wa miaka 40

Nilikua na ofic kariakor kodi ml 1 kwa mwezi nilweza kumudu kuilipa nilikua na viwanja kadhaa magar mawili ya kutembelea

Nilimiliki nyumba moja na ambayo mpaka sasa nimebaki nayo
Nimesafir nchi mbali mbali Kenya muzambiq Ethiopia Thailand hongkong Qatar China kote huko ni katika kutafuta riziki nilimiliki pesa nyingi tu lakin vyote vimebaki history

Nimepoteza katika utafutaji sikuwahi kuchukua mkopo bank namshukur Mungu huenda nisingekuwemo kwenye ka pagala kangu kigambon
Nimesemwa sana na bado nasemwa sana nimefirisika na ndugu jamaa na marafiki
Nimejifunza mengi sana katika Haya mapito

Nimeshawajua rafiki zangu na ndugu zangu bado nipo kwenye safar ndefu ya kutafuta cjakata tamaa najua tuko wengi hebu tufarijiane tulio filisika na pia wafilisika watarajiwa tupeni ushaur wa ki saikolojia tunapitia mazingira magum sana

Sema umepoteza nini jipe imani kama utarudi kama zamani au zaidi

Nb nimefirisika katika kutafuta hakuhusiani na utawala huu.
Uzi wa maudhui hii upo tayari na wengi wameshachangia.
 
Pole sana...

Huenda mafanikio yako yalikua yana mushkeli au ya mashaka...


Cc: mahondaw
 
Mtapata vyote mlivyopoteza tena na zaidi, kikubwa kutunza afya ya akili zenu. Akili ikitulia unaweza kufanya makubwa zaidi. Wenye imani tutazidi kuwaombea.
 
Duh kaka we acha tu. Nilimiliki mpaka Mercedes Benz ya kutembelea nyumba nyingi na mashamba. Ukiambiwa leo nimebaki na nyumba ninayoishi tu. Sina gari halafu nadaiwa 175,000. (Laki na sabini na tano) marafiki na ndugu wameingia mitini
Dah pole sana mkuu tupambane
 
Naelewa sana hichi unachosema...kijana pia nlipata hela zakujimudu na Maisha na familia yangu.nilikua na kampuni ya jenzi inafanya vizuri tu mkoani huko.mikosi ilitokea ghafla kifusi nimekipanga mvua ikapiga kikazilewa

Hapo nimekopa Lita 20,000 za diesel,tipper kumi zipo site kama siku 15 per day 160,000 .mradi nlimaliza kwa mateso na madeni.nlikua na magar sina tena.Gar la mwisho nimekopa kwa mtu kwa riba tokea January imeahindikana kulipa 2m.

Nipo napambana familia wanakula.Kikubwa ni kukaa kwenye line usirudishe mpira golini au kukata tamaa.Fight huku ukihakikisha nyumban kuna Amani.
Kweli mkuu ila ni kujipanga na kupambana sana kwa nguvu tutatoboa
 
Duh kaka we acha tu. Nilimiliki mpaka Mercedes Benz ya kutembelea nyumba nyingi na mashamba. Ukiambiwa leo nimebaki na nyumba ninayoishi tu. Sina gari halafu nadaiwa 175,000. (Laki na sabini na tano) marafiki na ndugu wameingia mitini
Kipi kilisababisha yote hayo mkuu
 
Back
Top Bottom