Uzee mwisho ferry, BOT wote mababy

Uzee mwisho ferry, BOT wote mababy

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Wadau,
Pale BOT hakuna mama anayekubali uzee. Wamama wa BOT wana swagga asikwambie mtu.
Hakuna mama wa BOT asiyejiweka make up, tena make up hasa kama ile ya Asha Baraka.

Ukifika BOT, wamama wa pale wanahuruma sana kwa vijana. Ukiwa unaenda kuingia kwenye ofisi yoyote ile mama yeyote wa BOT akikuona atakwambia subiri kijana wangu nikufungulie na card yangu we huna card huwezi kufungua.

Wamama wa BOT ukiwaamkia shikamoo wanakujibu "am fine, za kwako?"

Baada ya kumaliza shida yako iliyokupeleka BOT unaweza ukakuta mmama anakwambia kijana wangu chukua namba yangu endapo kuna kitu hujanielewa utapiga simu kuniuliza kuliko kuja tena mpaka huku ni usumbufu. Akishachukua anasema ni beep namimi ili ukipiga nisikuulize ulize wewe ni nani. Baada ya hapo mnaendelea na mawasiliano mpaka mwisho, kweli BOT ni shiiiidah.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanaume kama mabinti - kazi kwao.
Wadau,
Pale BOT hakuna mama anayekubali uzee. Wamama wa BOT wana swagga asikwambie mtu.
Hakuna mama wa BOT asiyejiweka make up, tena make up hasa kama ile ya Asha Baraka.

Ukifika BOT, wamama wa pale wanahuruma sana kwa vijana. Ukiwa unaenda kuingia kwenye ofisi yoyote ile mama yeyote wa BOT akikuona atakwambia subiri kijana wangu nikufungulie na card yangu we huna card huwezi kufungua.

Wamama wa BOT ukiwaamkia shikamoo wanakujibu "am fine, za kwako?"

Baada ya kumaliza shida yako iliyokupeleka BOT unaweza ukakuta mmama anakwambia kijana wangu chukua namba yangu endapo kuna kitu hujanielewa utapiga simu kuniuliza kuliko kuja tena mpaka huku ni usumbufu. Akishachukua anasema ni beep namimi ili ukipiga nisikuulize ulize wewe ni nani. Baada ya hapo mnaendelea na mawasiliano mpaka mwisho, kweli BOT ni shiiiidah.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
aisee wamama wa BOT wanakula ujana hembu wasindikize ma jobless huko
 
Ukikaa karibu na pesa ni full furaha,full kicheko na huruma za kiutu nyiiingi!Labda uwe umezaliwa "bandidu" tu.
 
Back
Top Bottom