Ilikuww siku ya ijumapili docter alikuwa mmoja na alikuwq na wagonjwa wengi hvo ikamfanya niapandishie bei alitaka 80 na ndo maan sikusafisha badala yake nikanunu dawa tu za kusafisha ambazo hazikunisaidia baada ya miez miwili nikaanza kusikia kiuno mgongo na mbavu pmoja na tumbo vinauma
Hukupata ushauri mzuri. Ni hatari sana mimba ikitoka ukae bila kusafishwa. Tena una bahati kuna mdada aliwahi kufanya hivyo hivyo ilibidi kizazi (uterus) kitolewe.
Hukupata ushauri mzuri. Ni hatari sana mimba ikitoka ukae bila kusafishwa. Tena una bahati kuna mdada aliwahi kufanya hivyo hivyo ilibidi kizazi (uterus) kitolewe.
Tatizo siyo kuumwa tena, tatizo je, kuna madhara yoyote yameshatokea kwenye viungo vya uzazi kutokana na uchafu uliokuwa umebaki? Omba Mungu akusaidie na pia uende hospital wakuchunguze