Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Hawa jamaa mfumo wao bado ni uleiule wa kutengeneza problem ambazo hazina solution popote halafu wanaleta solution baadae wao wenyewe mfano magonjwa makubwa makubwa yasiyotibika kiurahisi duniani n.k.
Vivyo hivyo ndio wanavyofanya katika uchumi wa dunia ulimwe guni kote, wanatubania kiuchumi nchi zetu halafu wanatuletea model zao za uchumi ili tuzidi kuwa watumwa mamboleo wao milele.
Sasa kumbe hiyo inatokea mpaka locally,
Hili ndio jambo baya na la.kusikitisha sana, matajiri wa kifreemason na wanasiasa wao ndio operators wa jambo hili. Kadri siku zina yokwenda wanazibana taratibu system za kiuchumi nchini, hali inakuwa mbaya , vikana wanachanganyikiwa kwa ukata , ajira hakuna.
Kwa upande mwingine hao hao wanakuambia tafuta pesa, sasa unatafuta na huzioni pa kuzipata , huku unazodi kuonyeshwa maisha mazuri ambayo ni ndoto ya kila kijana, hiyo ni confusion sasa.
Mwishoni wanakukaribiaha ujiunge freemason, ikifika hatua hiyo ni vikana wachache sana wanapona, utasikia tu vikana kibao wanasema nipe connection ya hao freeamason na mm, hatakama anasikia ushuhida wa kutisha wenye majuto Na misiba wa mtu aliyeponyoka kutoka kwa hao mashetani, can you imagine wanapotufikisha ni hatari sana.
Mcheki huyu jamaa ni mmoja wa vijana wao anayepewa pesa nyingi kuwachanganya vijana na nna amini mpaka sasa kashawaunga wengi bila ahaka.
NB : TAFUTA Chief_godlove ....huko tiktok utaelewa,
((((JIBU LA TATIZO HILI NIMEWEKA POST #14))))
Vivyo hivyo ndio wanavyofanya katika uchumi wa dunia ulimwe guni kote, wanatubania kiuchumi nchi zetu halafu wanatuletea model zao za uchumi ili tuzidi kuwa watumwa mamboleo wao milele.
Sasa kumbe hiyo inatokea mpaka locally,
Hili ndio jambo baya na la.kusikitisha sana, matajiri wa kifreemason na wanasiasa wao ndio operators wa jambo hili. Kadri siku zina yokwenda wanazibana taratibu system za kiuchumi nchini, hali inakuwa mbaya , vikana wanachanganyikiwa kwa ukata , ajira hakuna.
Kwa upande mwingine hao hao wanakuambia tafuta pesa, sasa unatafuta na huzioni pa kuzipata , huku unazodi kuonyeshwa maisha mazuri ambayo ni ndoto ya kila kijana, hiyo ni confusion sasa.
Mwishoni wanakukaribiaha ujiunge freemason, ikifika hatua hiyo ni vikana wachache sana wanapona, utasikia tu vikana kibao wanasema nipe connection ya hao freeamason na mm, hatakama anasikia ushuhida wa kutisha wenye majuto Na misiba wa mtu aliyeponyoka kutoka kwa hao mashetani, can you imagine wanapotufikisha ni hatari sana.
Mcheki huyu jamaa ni mmoja wa vijana wao anayepewa pesa nyingi kuwachanganya vijana na nna amini mpaka sasa kashawaunga wengi bila ahaka.
NB : TAFUTA Chief_godlove ....huko tiktok utaelewa,
((((JIBU LA TATIZO HILI NIMEWEKA POST #14))))