Opticf Member Joined Oct 4, 2012 Posts 62 Reaction score 4 Mar 29, 2014 #1 Jaman mwenye kuuza simu ya vodafone kutoka vodacom aniuzie
Jasnira JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 608 Reaction score 382 Mar 29, 2014 #2 nenda vodashops utapata. jaribu ya kinondoni
Gsana JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 4,383 Reaction score 1,340 Mar 29, 2014 #3 kwa nini unataka kwa sh 110 wakati mpya vodacom wanaitangaza 100 tu?????????/
hyusuph JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 1,655 Reaction score 692 Mar 29, 2014 #4 Mi nauza ya kwangu ni Vodafone 875 Kali kishenz nauza laki 2
EvNich Senior Member Joined Mar 29, 2014 Posts 135 Reaction score 37 Mar 29, 2014 #5 Si kwamba unaiuza kwa haifai inakusumbua? Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
hyusuph JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 1,655 Reaction score 692 Mar 29, 2014 #6 Opticf said: kali ina nin zaid ya zngne Click to expand... 3G yenye kasi ya ajabu application zote zinapatikana kene hii cm ,touch screen kubwa na bado ni mpya kabisa,vodashop walikuwa wanauza 260
Opticf said: kali ina nin zaid ya zngne Click to expand... 3G yenye kasi ya ajabu application zote zinapatikana kene hii cm ,touch screen kubwa na bado ni mpya kabisa,vodashop walikuwa wanauza 260
Poxino JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 727 Reaction score 53 Mar 30, 2014 #7 haaaaaaaaaaaaa kweli changamkia fulsa simu ya laki voda kunawatu wanauza laki 2