Uyoga unapatikana bei nafuu

Uyoga unapatikana bei nafuu

babilas25

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
483
Reaction score
359
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema.
Kwa wenye mahitaji ya uyoga mkavu na mbichi tutakufikishia popote ulipo (Dar pekee) kwa bei nafuu kabisa
Pia tunatoa mafunzo ya uzarishaji uyoga
119164f8b39bbf9c5c4b4a268ccc2d00.jpg
d7df3fc38e8dd0e9754100fb01704cf4.jpg
2da873295b5da189a9839cb7c189bfe6.jpg

Tunapatikana Ukonga tupigie kwa #
+255713136486 au

+255 785 455 412

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei nafuu ndio bei gani hiyo

Tuyaache kama yalivyo
 
2000 kwa ujazo wa gram 100 mkavu
Mbichi 10,000 kwa kilo[/QUOTE]
@babilas25 nimewasiliana na mwenye uyoga...bei zake wala si kama ulivoonyesha...1kg ya mkavu ni 60,000TZS, mbich hauzi kwa kipimo cha kilo,bali 10,000tzs ni kwa gm120.

tutafika lakni....
 
Mkuu please nipe elimu PM au hapa kama hautajali.
 
Back
Top Bottom