Uwongo wake umemponza

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,190
Reaction score
5,046
Wakuu #noreformsnoelection

Kuna mdada mmoja nilikutana naye maeneo ya kazini nikamuelewa nikarisha ndoano akatick baadaye sana nilikuja gundua ni mke wa mtu kwa maelezo yake mumewe hakai wilaya tuliyopo yupo wilaya nyingne kutoka hapa tulipo mpaka huko alipo ni masaa matatu.

Alinambia bwana ake anafanya kazi kwenye ujenzi wa mabarabara huwa anarudi mara moja moja sn anaweza maliza hata miezi 6 hajaridi

Lakini alinambia ni kama huyo bwana ake ana mwanamke mwingine huko aliko anakofanya kazi na amepanga chumba huko hataki huyu mkewe aendeko ila matumiz anatoa na kodi analipa.

Nimekuwa nikimsaidia baadhi ya mambo kama mahitaji ya nyumbani kama ataniomba lakini kiasi cha fedha akiwa na shida.

Nilionana naye akiwa anajifunza mambo ya saloon sasa alinigusia baadhi ya changamoto zake bnafs na kwa mumewe kuhusu yeye binafsi ni yatima hana wazazi na anatamani apate mtaji wa kufungua saloon yake ili angalau ajikumu maisha kwani huyo mumewe anamnyanyasa sana hataki hata aende kwao wasalamia na mbaya zaidi jamaa hajalipa mahari, na hajawahi mpeleka kwao yaani kwao na mwanaume huyu mdada hajulikani ni sogea tukae tu na mwamba hana mpango huo kwa mujibu wa huyu dada.

Kilichonishtua siku moja aliniambia simu yake inasumbua akaniletea kazini hapa nikaanza mrekebishia nikaingia kwny sms eeeeh si nikakuta wanachart na huyo bwana ake wanabebishana huyu mwanamke anamwambia kamiss mboo yake nk ingawa pia kuna baadhi ya sms jamaa alikuwa anamtukana huyu dada na kumdhalilisha

Huyu dada alikuwa ananiambia hawez kabisa chart na huyo bwana ake zaidi ya salamu hakuna kingne na hataki kumuona na hana hisia naye nilipoona sms za kubebishana sjataka mwambia chochote ila kuna mambo nilitaka msaidia mwezi ujao kumnunulia baadhi ya vifaa vya saloon na kumlipia pango la kufungulia saloon sa kwasababu amekuwa akinidanganya nimeamua kuhairisha jambo hilo na nina mpango kumuita na kumwambia amwambie huyo bwana ake ampe mtaji mi siwez tena.

NB: Nilichojifunza aisee kama una mkeo sehemu tofauti na unakofanyia kazi ujue atatiwa tu hata awe mgumu kiasi gn atapigwa tu hakuna namna

Pia nimegundua hawa single maza hawa na hawa ambao waume zao wako mbali nao ni waongo sn si wa kuwaonea huruma ni waongo.

Sasa wakuu mnanishauri nini kuhusu uamuzi wangu nipo sawa au siko sawa πŸ€”
 
Uwe unatembea na mafuta au kilainishi , ili watu wasije wakala kisamvu kibichi.
 
Nani kakuambia ukikaa na mwanamke sehemu moja ndo hatagongwa?
Hivo unavoona mwanamke wa mwenzio anavotoa shutma na wakwako ndivo anavofanya/atakavofanya.

Usiwekeze akili kwa mwanamke hilo ndo lakuzingatia.
 
Hivi unakuaje na wivu na mwanamke wa mtu? We kula sepa anajitilisha huruma nawewe unamuamini kabisa, utajalizwa vibaya.

Mimi wiki iliyoisha kuna bidada nae ananiletea pigo hizo za kutokuelewana na mwanaume wake, mwishoni kabisa akasema nmsaidie kiasi fulani cha fedha ahame akapange kwake akipata atanirudishia.
Nikaishia kumpa pole hajui namba anayojaribu kupiga amepigwa.
 
Mtu ana mtu wake na wewe unajiweka hapohapo.

Yaani anamcheat anaemlipia kodi na kumpa matumizi, halafu wewe unaamini ni mke bora.
Hili ndilo wanaume wengi wanaingia kichwa kichwa. Mtu anakuja kukulia wewe shida za mumewe na wewe unajiona umeaminiwa na kupendwa kweli kweli. Kama anaweza kumfanyia hivyo mumewe wewe unadhani una nini special?
 
Sasa wakuu mnanishauri nini kuhusu uamuzi wangu nipo sawa au siko sawa πŸ€”
Uamuzi wako sio sawa.

Unapaswa umpigie simu na ulalamike kwanini alikudanganya, kisha umsamehe na umnunulie vitu vya saloon.

Vaa ujasiri, endelea nae. Kama mume wake anamnyanyasa basi wewe mtulize, kwako atatulia zaidi.

Kula mzigo huo kwelikweli ili nawewe utakapo tobolewa spika usiumie sana. Mpuuzi mmoja
 
Hili ndilo wanaume wengi wanaingia kichwa kichwa. Mtu anakuja kukulia wewe shida za mumewe na wewe unajiona umeaminiwa na kupendwa kweli kweli. Kama anaweza kumfanyia hivyo mumewe wewe unadhani una nini special?
Hiyo ni red flag moja kwa moja, labda ukute yupo single ila sio ana mtu halafu sijui hayuko serious nae sijui hamjali ni uongo huo.
 
Hiyo ni red flag moja kwa moja, labda ukute yupo single ila sio ana mtu halafu sijui hayuko serious nae sijui hamjali ni uongo huo.
Halafu siku hizi kuna wajanja wamegundua ''mabwege'' yakiskia huyu ni mke wa mtu huwa yanazuzuka haraka, hivyo kuna machangudoa wengi tu hujifanya ni wake za watu. Anakudnaganya mume wake hamjali na wewe unajua ku-sex mpaka anachanganyikiwa. Kumbe unapigwa kweupe.
 
Anajiona mjanja kula wake za watu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Akitaka kutiwa si atiwe tu
Tusipate stress kwa kumlinda demu au mke wako
Fanya mambo ya muhimu kuimarisha uchumi wako
La kuvunda halina ubani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…