Uchizi at the best. Eti anatumia technology kujaza maji halafu unajitwisha kichwani. Hehehe.. JesusComeBack
Kweli kijana tena wa kiwango cha phdUchizi at the best. Eti anatumia technology kujaza maji halafu unajitwisha kichwani. Hehehe.. JesusComeBack
Nani amekwambia ni Token?Mbona hiyo technology ya kutumia token hapa iringa ni ya kitambo sana
Hivi unajua kusona wewe? Kama unajua basi rudia tena kusona thread yote utaona nani kaniambia kuwa ni tokenNani amekwambia ni Token?
Yaani wewe vitu vidogo kama hivyo navyo unahitaji ushahidi? !! Hiyo pay as you go system sisi ndo inatumika kwa kila nyumba na hatukuwahi kuifanya habari kwasababu ni vitu vidogo hivyokwa hivyo tugure tuje iriga!!!!! mbona ata mtoto wa chekechea ataandika hivyo tu bila kuweka ushahidi kama ulivyoandika wewe!!
Yaani wewe vitu vidogo kama hivyo navyo unahitaji ushahidi? !! Hiyo pay as you go system sisi ndo inatumika kwa kila nyumba na hatukuwahi kuifanya habari kwasababu ni vitu vidogo hivyo